News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » AMUUA MWENZIE KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAMKE


Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Mwita (24) amekufa baada ya kuchomwa kisu na mwenzake wakigombea mwanamke.


Imeelezwa kuwa siku ya tukio marehemu akiwa kwenye baa 
moja mjini Sirari, nyakati za jioni kulitokea ugomvi kati yake
 na mtu mwingine ambaye hakufahamika jina wakigombania 
mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Dina. Wakati wa 
ugomvi huo, Mwita alichomwa kisu kifuani na aliyefanya

 kitendo hicho alitoroka ambapo majeruhi huyo alitokwa
 damu nyingi na alipofikishwa Hospitali ya Wilaya Tarime 

alifariki dunia.

Chanzo EA Radio

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu